We do not have a sample of this song ):

Otile Brown's picture

Leila (feat. Kidum)

(View album: Just In Love)

A Major (Ionian)

number of views for this lyric  1545 views

play button



40% accurate

Oooh yeah, aah aah yeiyee, alright
Anaitaka hapati, alijaliwa kidhamini hivi ni kwa nini
Hakika mwanamke akipenda kweli Atapigana vita vingi,ainusuru penzi (yeeeeyei)

Hivyo unampendea nini wakati kila kutwa
Anakuuliza
unang'ang'ania nini ni dhahiri subira heri itovuta
Wanaume wengine ni kama nguo nzuri ikitry mwili haikai
Tena hawamaanishi wasemacho,ni waongo hawafai
If I was your lover, ningedhamini penzi lako,
na style bora mwanamke anahitaji matunzo

Leila leila ungekua wangu ningekupenda ipasavyo
Leila leila Ungekua wangu ningekupenda ipasavyo

Changu chako, chako changu mi nawe,na wewe
Tena niacha utoto,kutwa kucha machangu,nikuoe

Nitakua shujaa wako ntakuliwaza nitakufariji mama. Ukinihataji mama nipigie simu yangu
Tena nitakua shujaa wako mama (Ntakuliwaza mama) Nitakufariji mama (Nipigie simu yangu) Mmmh nitakuwa shujaa wako mama(ntakuliwaza mama)nitakufariji mama (Nipigie simu yangu)
If I was your lover, Ningedhamini penzi lako, na style bora mwanamke anahitaji matunzo

Leila leila Ungekua wangu ningekupenda ipasavyo
Leila leila Ungekua wangu ningekupenda ipasavyo
Leila leila Ungekua wangu ningekupenda ipasavyo

If I was with you Leila
If I was with you leila
If I was with you leila (Si j'etais avec toi)
If I was with you leila Ningekupenda ipasavyo my beiby Si c'etait moi

Get this song on
iTunes

Get this song on
Google Music

Youtube
Soundcloud
Share what this song means to you..