We do not have a sample of this song ):

Maua Sama's picture

Namwachia

(View album: Cinema)

A Major (Ionian)

number of views for this lyric  1206 views

play button



40% accurate

Yangu furans, Imegeuka majuto
Kicheko kimegeuka kills
Ila ninaamini wema hauozi umenipa mazito - me naumia hey
Nilijua utanifuta machozi umenipa majonzi - me nalia

Zangu hisia nilishindwa kuficha
Wazi wadi ukatambua
Na Ndonga ukanpasua
Wangu rafiki, Wote ulowajua
Na Nguo ukawavua, Pasipo me jujus
Wacha Nike pembeni

Namwachia Mungu tu
(Labda kuna mahai nilikosea)
Namwachuia Mungu tu
(Kesi yako wake nakushtakia)
Namwachia Mungu tu
(Maana umedizidi kunionea)
Namwachia Mungu tu
Aaaa

Nilikupa Muda na vyote vilivyo vyangu
Ila malice ya yote kunitukanisha na nudge
Kweli mzoea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi
Nimelijua sawa
Moyo wangu umeuchakaza
Umehondomola mpaka gunzi
Woman umenilipa ubaya

Sitoshindwa hata tukionana
Kuachana sio uhasama
Sintothubutu kuzozana nimekunawa

Nakuombea kheri salama
Umpate yule mtakae wezana
Kumbuka kugunga Zipp bwana msije kwazana

Get this song on
iTunes

Get this song on
Google Music

Youtube
Soundcloud
Share what this song means to you..